{"id":85,"date":"2021-11-15T08:56:12","date_gmt":"2021-11-15T08:56:12","guid":{"rendered":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/sw\/?p=85"},"modified":"2021-11-28T07:29:43","modified_gmt":"2021-11-28T07:29:43","slug":"usafirishaji-haramu-wa-binadamu-mkuu-wa-un-anatoa-wito-wa-watu-kuchukuwa-hatua-kwani-covid-imewafanya-mamilioni-ya-watu-kuwa-katika-hali-ya-hatari","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/usafirishaji-haramu-wa-binadamu-mkuu-wa-un-anatoa-wito-wa-watu-kuchukuwa-hatua-kwani-covid-imewafanya-mamilioni-ya-watu-kuwa-katika-hali-ya-hatari\/","title":{"rendered":"Usafirishaji haramu wa binadamu: Mkuu wa UN anatoa wito wa watu kuchukuwa hatua kwani COVID imewafanya \u2018mamilioni ya watu\u2019 kuwa katika hali ya hatari"},"content":{"rendered":"<p>[vc_row][vc_column][vc_column_text]Kuonyesha jinsi janga la COVID lilivyosukuma watu wengi kama milioni 124 zaidi kwa umaskini uliokithiri, mkuu wa UN alisisitiza kwamba \u201cmamilioni ya watu\u201d wameachwa katika hali ya hatari ya janga hili.<\/p>\n<p>Nusu ya wahasiriwa kutoka kwa nchi zenye kipato cha chini ni watoto, kama alivyosema Bw. Guterres, kabla ya Siku ya kukumbuka vita Dhidi ya Usafirishaji haramu wa binadamu Duniani, akiongezea kwamba wengi wanasafirishwa kwa ajili ya kufanya kazi za kulazimishwa.<\/p>\n<p>\u201cWahalifu pande zote wanatumia teknolojia kuwatambua, dhibiti na kuwadhulumu watu dhaifu,\u201d mkuu wa UN alisema, akiongezea kwamba watoto wanaendelea kulengwa kupitia majukwaa ya mtandaoni kwa ajili ya dhulma za kimapenzi, ndoa za lazima na unyanyasaji wa aina nyengine.[\/vc_column_text][\/vc_column][\/vc_row]<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Kuonyesha jinsi janga la COVID lilivyosukuma watu wengi kama milioni 124 zaidi kwa umaskini uliokithiri, mkuu wa&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":86,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[4],"tags":[],"class_list":["post-85","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-news"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/85","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=85"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/85\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":770,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/85\/revisions\/770"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/media\/86"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=85"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=85"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/eapcco.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=85"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}